Wajibu
Wajibu
Kwa mujibu wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi, Sura ya 438, Ofisi ya Usuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi ina mamlaka ya kupitia, kuchunguza na kushughulikia malalamiko yoyote yanayowasilishwa na mtu yeyote kuhusu huduma, taratibu au masuala ya kiutawala yanayotokana na utekelezaji wa sheria za kodi unaofanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).