Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

TAASISI YA USULUHISHI WA MALALAMIKO NA TAARIFA ZA KODI

"Haki na Usawa"

Watumishi wa TOST watoa elimu Sabasaba

Imewekwa: 25 May, 2023
Watumishi wa TOST watoa elimu Sabasaba

Watumishi wa Taasisi ya Usuluhishi wa Malalamiko naTaarifa za Kodi (TOST), wakitoa elimu kwa wageni waliotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya Kimataifa ya Biashara  Sabasaba, yaliyofanyika Jijini Dar es Salaam.