Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

TAASISI YA USULUHISHI WA MALALAMIKO NA TAARIFA ZA KODI

"Haki na Usawa"

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amezindua kampeni ya Elimu kwa Umma katika Mkoa wa Dodoma

Imewekwa: 04 Jun, 2024
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amezindua kampeni ya Elimu kwa Umma katika Mkoa wa Dodoma

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Rosemary Senyamule amezindua kampeni ya Elimu kwa Umma katika Mkoa wa Dodoma. Kampeni hizo zinafanywa na Ofisi ya Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi kuanzia 30 Mei 2024 hadi 6 Juni 2024 katika Mkoa wa Dodoma.