Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

TAASISI YA USULUHISHI WA MALALAMIKO NA TAARIFA ZA KODI

"Haki na Usawa"

Mbunge wa CCM toka Jimbo la Muhambwe Mkoa wa Kigoma, Mh. Florence G. Samizi ametembelea banda la TOST

Imewekwa: 04 Jun, 2024
Mbunge wa CCM toka Jimbo la Muhambwe Mkoa wa Kigoma, Mh. Florence G. Samizi ametembelea banda la TOST

Mbunge wa CCM toka Jimbo la Muhambwe Mkoa wa Kigoma, Mh. Florence G. Samizi ametembelea na kupata maelezo toka kwa wataalamu wa kushughulika na Malalamiko ndani ya Banda la TOST katika viwanja vya Bunge Dodoma, 3 Juni 2024.